Ingia / Jisajili

Ee Baba Mikononi Mwako

Mtunzi: Fr. Amadeus Kauki
> Tazama Nyimbo nyingine za Fr. Amadeus Kauki

Makundi Nyimbo: Juma Kuu | Kwaresma | Zaburi

Umepakiwa na: Yudathadei Chitopela

Umepakuliwa mara 8,233 | Umetazamwa mara 15,123

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

FR. AMEDEUS KAUKI, OFMCAP

RHOTIA PARISH

15.03.2013

Ee Baba mikononi mwako naiweka roho yangu x 2

1. Nimekukimbilia wewe Bwana nisiaibike milele kwa haki yako uniponye uniokoe

2. Kwasababu yao watesi wangu nimekuwa laumu kwao jirani zangu na kitisho kwa marafiki

3. Nimesahauliwa kama mfu nimekua kama chombo kilichovunjika hofu zanizunguka kote

4. Lakini nakutumaini Bwana nimesema ndiwe Mungu wangu uniponye na adui wanifuatao


Maoni - Toa Maoni

chavala Feb 25, 2018
nimependa sana mungu awabariki na awatie nguvu ya kuweza kutenda kazi yake kwa ueledi mwingi . mubarikiwe sana

Toa Maoni yako hapa