Ingia / Jisajili

Ee Mungu Uniokoe

Mtunzi: Mmole G.
> Tazama Nyimbo nyingine za Mmole G.

Makundi Nyimbo: Mwanzo

Umepakiwa na: Gereon Mmole

Umepakuliwa mara 760 | Umetazamwa mara 2,356

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 18 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Ee Mungu, uniokoe, Ee Bwana unisaidie hima, (Ndiwe msaada wangu) x2,  na mwokozi wangu, Ee Bwana usikawie.

Viimbilizi:

1.Waaibike wafedheheke, wanaoitafuta nafsi yangu, warudishwe nyuma watahayarishwe, wapendezwao na shari yangu.

2.Warudi nyuma na iwe aibu yao, wanaosema ewe ewe, washangilie wafurahie, wote wakutafutao.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa