Ingia / Jisajili

Ekaristi Ni Chakula

Mtunzi: Yohanis F. Msambwa
> Mfahamu Zaidi Yohanis F. Msambwa

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Yohanis Msambwa

Umepakuliwa mara 5 | Umetazamwa mara 3

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio

Ekaristi ni chakula cha uzima, Damu yake ni kinywaji cha uzima.

Mashairi

1.Ekaristi ni fumbo kubwa ni mwili wa bwana wetu Yesu kristo.

2. Damu yake iliyo mwagika pale Msalabani itusafishe sote.

3.Bwana Yesu anatualika sote tuijongee meza yake tukufu.

4.Njoo kwangu bwana mfariji wangu uishi kwangu daima na milele.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa