Ingia / Jisajili

Fikirini vizuri jambo hili

Mtunzi: André Makanga
> Mfahamu Zaidi André Makanga
> Tazama Nyimbo nyingine za André Makanga

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: André Makanga

Umepakuliwa mara 416 | Umetazamwa mara 1,591

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

FIKIRINI VIZURI JAMBO HILI

Fikirini vizuri jambo hili, enyi msionijali,
la sivyo nitawaangamizeni,
wala hapatakuwa na wa kuwaokoeni.

1. Bwana Mungu anena na mtu mwovu:
Ya nini kuzitajataja tu sheria zangu?
Kwa nini unasemasema juu ya agano langu?

2. Wewe wachukia kuwa na nidhamu,
na maneno yangu hupendi kuyafuata.
Kwa nini kujitangaza kama kondoo wangu?

  • 3. Uko tayari daima kunena mabaya;
    kazi ya ulimi wako ni kutunga uongo

Kwanini kusema kwamba wewe ni mkristo

  • 4. Altareni tunaenda bila aibu;
  • na mavazi ambayo hayaleti picha nzuri;

ya ukristo na wafuasi wake Yesu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa