Ingia / Jisajili

Furahi Ee Yerusalemu (2)

Mtunzi: Respiqusi Mutashambala Thadeo
> Tazama Nyimbo nyingine za Respiqusi Mutashambala Thadeo

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Zaburi

Umepakiwa na: respiqusi mutashambala

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 4 ya Kwaresma Mwaka A

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Furahi Ee Yerusalem, furahi Ee Yerusalem, na mkusanyike na mkusanyike ninyi nyote mmpenda mmpendaoX2

Furahini kwa furaha ninyi nyote mliao kwa huzuni mpate kushangilia na kushibishwa kwa utamu wa faraja zake X2

1.S&A

Mpate kunyonya na kushibishwa kwa maziwa ya faraja zake, mpate kukama na kufurahi kwa wingi wa utukufu wake

2. T&B

Maana Bwana asema hivi tazama nitamwelekezea amani kama mto na utukufu wa mataifa kama kijito kifurikacho

3. S&A

Nanyi mtapata kunyonya mtabebwa na juu ya magoti mtabembelezwa.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa