Ingia / Jisajili

Furahi Yerusalemu

Mtunzi: Stephano M. Tani
> Mfahamu Zaidi Stephano M. Tani
> Tazama Nyimbo nyingine za Stephano M. Tani

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Mafundisho / Tafakari | Mwanzo | Zaburi

Umepakiwa na: MAJALIWA TANI

Umepakuliwa mara 28 | Umetazamwa mara 25

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO

Furahi Jerusalemu shangilia, nyote mshangilieni mmpendao X2

SHAIRI

1. Furahini nyote mliao kwa ajili yake mpate kunyonya na kushibishwa maziwa ya faraja.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa