Mtunzi: Mwl. Mponela J.P
Makundi Nyimbo: Watakatifu
Umepakiwa na: James Mponela
Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0
Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Watakatifu Wote
Kiitikio: Hawa ndio wale ambao walipoishi walipanda Kanisa kwa damu yao
Mashairi:
1. Walikunywa kikombe cha Bwana (Yesu) wakawa rafiki zake Mungu
2. Walishiriki mateso ya Bwana (Yesu) wakaitangaza habari njema