Ingia / Jisajili

Heri Waendao Katika Sheria

Mtunzi: F.m.mtebe
> Mfahamu Zaidi F.m.mtebe
> Tazama Nyimbo nyingine za F.m.mtebe

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Antony Chacha

Umepakuliwa mara 746 | Umetazamwa mara 1,993

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Heri waendao katika Sheria ya Bwana, Heri wamtafutao Bwana kwa moyo wao wote. ×2

1. Heri walio kamili njia zao, waendao katika sheria, sheria yake Bwana heri wazitiio shuhuda shuhuda zake.

2. Ee Bwana wewe unifundishe njia, nifundishe na Amri zako, nami nitazishika nami  nitashika sheria kwa moyo wote.

3. Wewe umetuamuru watu wako, tuyapende matendo yako, tuwe thabiti nasi yutakushangilia nyakati zote.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa