Ingia / Jisajili

Ingekuwa Heri Leo

Mtunzi: FELICIAN KATARE
> Mfahamu Zaidi FELICIAN KATARE
> Tazama Nyimbo nyingine za FELICIAN KATARE

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Zaburi

Umepakiwa na: Felician Katare

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 3 Mwaka A
- Katikati Dominika ya 18 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
  • Kiitikio:{ Ingekuwa Heri leo msikie sauti ya Bwana na msifanye msifanye mioyo yenu msifanye mioyo yenu migumu}*2

1.(a) Njoni tumwimbie Bwana,na tumfanyie shangwe mwamba wa wokovu wetu

(b)Tuje mbele zake Bwana kwa shukrani,tumfanyie shangwe shangwe kwa zaburi.

2.(a)Njoni tuabudu na tusujudu,tupige magoti mbele ya Bwana aliyetuumba

(b)Kwa maana ndiye Mungu Mungu wetu,na sisi tu watu wa malisho yake.

3.Ingekuwa Heri leo msifanye migumu mioyo yenu kama vile huko Meriba kama siku ya Masa jangwani hapo waliponijaribu Baba zenu wakanipima wakayaona matendo yangu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa