Ingia / Jisajili

Kazi Ya Mikono Yetu Uithibitishe (Nakala Sahihi)

Mtunzi: Clement I. P. Msungu
> Tazama Nyimbo nyingine za Clement I. P. Msungu

Makundi Nyimbo: Sadaka / Matoleo | Zaburi

Umepakiwa na: Alex Rwelamira

Umepakuliwa mara 569 | Umetazamwa mara 666

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
Kazi ya mikono yetu uithibitishe uithibitishe Ee Bwana X2

1. Twendeni madhabahuni kwa unyenyekevu tutoe shukrani zetu kwa Muumba wetu

2. Mazao ya mashamba tunaleta kwako ni kazi ya mikono yetu uithibitishe

3. Utukuzwe Ee Bwana Muumba mbingu na nchi kwa wako unaotujalia siku zote

4. Mkate divai tunaleta kwako ni kazi ya mikono yetu uithibitishe

5. Kazi ya mikono yetu tunakutolea ili iwe shukrani kwako Muumba wetu

6. Vitu vyote ni mali yako upokee upokee Baba ni mali yako

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa