Ingia / Jisajili

Kikombe Kile

Mtunzi: F. A. Mwingira (Fam)
> Tazama Nyimbo nyingine za F. A. Mwingira (Fam)

Makundi Nyimbo: Juma Kuu | Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Philemon Kajomola

Umepakuliwa mara 816 | Umetazamwa mara 2,637

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Alhamisi Kuu

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kikombe kile cha Baraka tukibarikicho je si ushirika wa damu ya Kristo? X2

1.       Mkate ule tumegao je si ushirika wa mwili wa Kristo

2.       Kwakuwa mkate ni mmoka na sisi wengi ni mwili mmoja

3.       Kwakuwa sisi tunapokea sehemu ile ya mkate mmoja


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa