Ingia / Jisajili

Kristo Ndiye Jiwe Kuu La Pembeni

Mtunzi: J. Darwall

Makundi Nyimbo: Kristu Mfalme | Pasaka | Tenzi za Kiswahili

Umepakiwa na: Yudathadei Chitopela

Umepakuliwa mara 1,214 | Umetazamwa mara 3,696

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

1.       Kristo ndiye jiwe kuu la pembeni; tumejengwa kwake sasa kwa imani: mapenzi yake ni makuu tunayatumaini tu.

2.       Sana na zipae nyimbo zetu hizi, kanisa ijae, sifa za mwokozi, jina lake litukuzwe,  sifa zake na zipazwe.

3.       Karibia hapa ewe mungu wetu; ridhia kutupa hapa juu yetu baraka zitufaazo; zaidi ya tuombazo.

4.       Hapa natupate neema ya mbingu; hapa tusiache kumwimbia mungu; hata tutakapokwenda kwake aliyetupenda.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa