Ingia / Jisajili

Kwa Bwana Kuna Fadhili

Mtunzi: Aloyce G. Msafi
> Mfahamu Zaidi Aloyce G. Msafi
> Tazama Nyimbo nyingine za Aloyce G. Msafi

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Zaburi

Umepakiwa na: Aloyce Msafi

Umepakuliwa mara 432 | Umetazamwa mara 1,069

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
Kiitikio Kwa Bwana kuna fadhili (II &IV fadhili) na kwake kuna ukombozi mwingi x2 Maimbilizi 1. Ee Bwana, toka vilindini nimekulilia, Bwana, uisikie sauti yangu. Masikio yako na yaisikilize Sauti ya dua zangu. 2. Bwana, kama Wewe ungehesabu maovu, Ee Bwana, nani angesimama? Lakini kwako kuna msamaha Ili Wewe uogopwe. 3. Nimemngoja Bwana, roho yangu imemngoja, Na neno lake nimelitumainia. 4. Nafsi yangu inamngoja Bwana, Kuliko walinzi waingojavyo asubuhi, Naam, walinzi waingojavyo asubuhi, Ee Israeli, umtarajie Bwana. 5. Maana kwa Bwana kuna fadhili, Na kwake kuna ukombozi mwingi. Yeye atamkomboa Israeli Na maovu yake yote.
Nyimbo nyingine za mtunzi huyu

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa