Mtunzi: RONNIE ODUOR
> Mfahamu Zaidi RONNIE ODUOR
Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari
Umepakiwa na: Peruh Vincent
Umepakuliwa mara 3 | Umetazamwa mara 0
Download Nota KWAKO
NAJONGEA
Moyoni mwangu
nakukimbilia nikufuate eeh mungu
Kinywani
mwangu ninakuimbia nikutukuze bwana wangu.
Kwako
najongea ,unipokee eeh
Kwako najongwa unihifadhi eeh mungu.
11. Ninakusihi ewe Bwana usikie kilio changu, ninakuomba bwana unionee huruma Na kunijibu.
2.Uangalie matendo yangu mazuri siyo mabaya
Na wala Bwana usinikatae kwa hasira mtumishi wako.
3.Unifundishe
njia yako njia nzuri iliyo na mwanga
Ninakuomba
uniongoze katika njia iliyo sawa