Ingia / Jisajili

Kwako Najongea

Mtunzi: RONNIE ODUOR
> Mfahamu Zaidi RONNIE ODUOR

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Peruh Vincent

Umepakuliwa mara 3 | Umetazamwa mara 0

Download Nota
Maneno ya wimbo

                       KWAKO NAJONGEA

Moyoni mwangu nakukimbilia nikufuate eeh mungu

Kinywani mwangu ninakuimbia nikutukuze bwana wangu.

            Kwako najongea ,unipokee eeh

       Kwako najongwa unihifadhi eeh mungu.

 

11.      Ninakusihi ewe Bwana usikie  kilio changu, ninakuomba bwana unionee huruma Na kunijibu.

 

2.Uangalie matendo yangu mazuri siyo mabaya

Na wala Bwana usinikatae kwa hasira mtumishi wako.

 

3.Unifundishe njia yako njia nzuri iliyo na mwanga

Ninakuomba uniongoze katika njia iliyo sawa


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa