Ingia / Jisajili

Makao Yetu

Mtunzi: A.Family
> Mfahamu Zaidi A.Family
> Tazama Nyimbo nyingine za A.Family

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Aloyce Family

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Wewe Bwana umekuwa makao yetu×2 kizazi baada yakizazi kizazi baada ya kizazi×2

1..Wamrudisha mtu mavumbini, usemapo rudini enyi wanadamu, maana miaka elfu machoni pako nikama siku ya jana ikiisha kupita, na kama kesha la usiku.

2..Wawagharikisha huwa kama usingizi Asubuhi huwa kama majani yameayo Asubuhi yachipuka nakumea, jioni yakatika na kukauka.

3..Basi utujulishe kuzihesabu siku zetu tujipatie moyo wahekima Ee Bwana urudi hata lini, uwahurumie watumishi wako.

4..Utushibishe Asubuhi kwa fadhili zako nasi tutashangilia nakufurahi siku zetu zote, na uzuri wa Bwana Mungu wetu uwe juu yetu, na kazi yamikono yetu uithibitishe.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa