Ingia / Jisajili

Milele nitakusifu

Mtunzi: Leonard Mushumbusi
> Mfahamu Zaidi Leonard Mushumbusi
> Tazama Nyimbo nyingine za Leonard Mushumbusi

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Shukrani

Umepakiwa na: Leonard Florence

Umepakuliwa mara 479 | Umetazamwa mara 1,901

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

1.Ni mambo mengi sana unayonitendea lazima nishukuru kwa mema hayo.

Bwana umeniumba kwa mfano wa sura yako tazama napendeza wote ni wema wako.

chorus;Mungu wangu milele nitakusifu milele,milele yote milele nitakuimbia zaburi*2;

2.Ee Mungu ni ajali nyingi unaniepusha ,magonjwa mbalimbali pia wanikinga.

chakula na mavazi nayo unanipatia,mimi kiumbe duni nikushukuruje wewe.chorus.

3.wanitofautisha nao viumbe wengine  kwa sura yako wewe pia na utashi.

kipaji uimbaji mimi umenijalia , milele na milele Bwana nitakuimbia.chorus.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa