Mtunzi: Augustine Rutakolezibwa
> Mfahamu Zaidi Augustine Rutakolezibwa
> Tazama Nyimbo nyingine za Augustine Rutakolezibwa
Makundi Nyimbo: Mwanzo
Umepakiwa na: AUGUSTINE RUTAKOLZIBWA
Umepakuliwa mara 1,550 | Umetazamwa mara 3,991
Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 25 Mwaka C
MIMI NI WOKOVU WA WATU
Bwana asema, Mimi ni wokovu wa watu,
wa kinililia katika taabu yoyote, nitawasiliza,
nami nitakuwa Bwana wao milele
1. Waniaminio katika shida zao, nitawapa tulizo la milele.
2.Nami nitawapa tulizo la moyo, waniaminio katika shida