Ingia / Jisajili

Msifuni Bwana Anaye Wakweza Maskini

Mtunzi: Abraham R. Rugimbana
> Mfahamu Zaidi Abraham R. Rugimbana
> Tazama Nyimbo nyingine za Abraham R. Rugimbana

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Zaburi

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 2,024 | Umetazamwa mara 4,658

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Msifuni Bwana anaye wakweza Maskini enyi watumishi wa Bwana lisifuni Jina lake, Jina la Bwana lihimidiwe tangu leo na hata milele x 2.

Mashairi:

1. Bwana ni mkuu juu ya mataifa yote na utukufu wake juu ya Mbingu.

2. Humwinua mnyonge kutoka mavumbini nakumpandisha maskini toka njaani.

3. Ni nani aliye mfano wa Bwana Mungu wetu anyenyekeaye kutazama mbinguni na duniani.


Maoni - Toa Maoni

Vincent nyingi07 Sep 14, 2016
Njambo LA hero kuweka ulahisi kwa walimu wanao tafta copy za nyimbo

Toa Maoni yako hapa