Ingia / Jisajili

Muwe Watu Wa Hekima

Mtunzi: Joseph Rimisho
> Mfahamu Zaidi Joseph Rimisho
> Tazama Nyimbo nyingine za Joseph Rimisho

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Modest Tindegizile

Umepakuliwa mara 23 | Umetazamwa mara 1,525

Download Nota
Maneno ya wimbo

             MUWE WATU WA HEKIMA                                                                                  Na: Modest Tindegizile

 Kiitikio:

Basiangalieni jinsi mnavyoenenda. Si kama watu wasio na hekima/mkiuombea wakati kwa maaana siku za mwisho ni za uovu.

Mashairi:

1.Kwasababu hiyo msiwe wajinga, bali mfahamuni yaliyo mapenzi ya Bwana.

2. Tena msilewe kwa mvinyo, ambao mnaufisadi bali mjazwe Roho.

3. Mkisemezana kwa zaburi na tenzi, mkishukuru Mungu Baba siku zenu zote.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa