Ingia / Jisajili

Nami Nimezitumainia Fadhili Zako

Mtunzi: John D. Kajala
> Tazama Nyimbo nyingine za John D. Kajala

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: John Kajala

Umepakuliwa mara 3,004 | Umetazamwa mara 6,144

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

NAMI N IMEZITUMAINIA

Nami nimezitumainia fadhili zako, moyo wangu uufurahie wokovu wako. X2

Naam nimwimbie Bwana, naam nimwimbie Bwana (Bwana) amenitendea kwa ukarimu. X2

1. Bwana fadhili zako, siwezi kuzihesabu, wala mimi Bwana sina cha kukulipa.

2. Bwana nitalitaja, jina lako daima, nao ulimi wangu, milele utakusifu.

3. sifa kwa Mungu Bba, sifa kwa Mungu Mwana, pia kwa Mungu Roho, Mtakatifu daima.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa