Ingia / Jisajili

Ndiwe Kuhani Hata Milele

Mtunzi: Albert Sweetbert Masokola
> Mfahamu Zaidi Albert Sweetbert Masokola
> Tazama Nyimbo nyingine za Albert Sweetbert Masokola

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Zaburi

Umepakiwa na: Dr. Albert Sweetbert Masokola

Umepakuliwa mara 8 | Umetazamwa mara 5

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Mwili na Damu Takatifu ya Bwana Wetu Yesu Kristu Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

NDIWE KUHANI HATA MLELE

I&II Ndiwe kuhani hata milele, ndiwe kuhani (kwa) nfano wa Melkisedeki ×2

III&IV Wewe ndiwe (ndi-we kuhani) milele, (ndiwe) kuhani (kwa) mfano wa Melkisedeki.

1.   1   Neno la Bwana kwa Bwana wangu, uketi mkono wangu wa kuume hata ni wafanyapo adui zako kuwa chini ya miguu yako.

2.      2. Bwana atainyoosha toka sayuni, fimbo ya adui zako uwe na enzi kati ya adui; adui zako.

3.     3.  Kwa uzuri wa utakati-fu to-kea tumbo la asubuhi, unao uma-nde wa – ujana wako.

4.Bwana ameapa, wala hata ghaili; ndiwe kuhani hata milele kwa mfano wake Melkisedeki.       


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa