Mtunzi: Frt. Paul Mpendwa
> Mfahamu Zaidi Frt. Paul Mpendwa
Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari
Umepakiwa na: Frt. Paul Mpendwa
Umepakuliwa mara 2 | Umetazamwa mara 0
Download Nota Download MidiUtangulizi
Hivi nilivyo si Kwa nguvu zangu Bali ni baraka za Mungu wangu, kila hatua ninayopiga Mimi ni kwa nguvu na Neema zake
Kiitikio
Ni kwa neema ya Mungu wangu nimekuwa jinsi nilivyo.
Mashairi
1. Tangu tumboni mwa Mama yangu amenilinda, na hata sasa ananilinda
2. Hata ninapopatwa na magumu ndiye faraja, kwenye magonjwa yeye ni tiba.
3. Hunisamehe makosa yangu kwani ni mwenye huruma Neema na fadhili.