Mtunzi: Elias William Mtemi (Ewimu)
> Mfahamu Zaidi Elias William Mtemi (Ewimu)
> Tazama Nyimbo nyingine za Elias William Mtemi (Ewimu)
Makundi Nyimbo: Zaburi
Umepakiwa na: Elias William Mtemi (Ewimu)
Umepakuliwa mara 10 | Umetazamwa mara 17
Download NotaNineno jema kumshukuru Bwana jina lake x2
1.Mwenye haki atastawi, kama mtende atakuwa kama mwelezi wa rebanoni.
2.Waliopandwa katika nyumba ya Bwana watastawi katika nyua za Mungu wetu, watazaa matunda hadi wakati wa usiku