Ingia / Jisajili

Ninajongea Mezani

Mtunzi: Fr Cletus C. Mzeru
> Mfahamu Zaidi Fr Cletus C. Mzeru

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio | Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Ivan Kahatano

Umepakuliwa mara 700 | Umetazamwa mara 1,708

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO: Ninajongea mezani pako Bwana kuupokea mwili na damu yako. Ee Bwana, Ee Bwana, wewe ni chakula cha kweli (Bwana) unishibishe

               Bwana  kwa karamu yako. Ee Bwana Ee Bwana wewe ni kinywaji cha kweli (Bwana) unishibishe Bwana kwa karamu yako. (Organ Pause)

               1. Nakuja Bwana, kukupokea ukae ndani yangu na mimi ndani yo.

               2. Karibu Bwana moyoni mwangu, ukae nami Bwana kwa milele yote.

               3. Wewe mzabibu nami ni matawi, nikae ndani yako nipate kuzaa.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa