Ingia / Jisajili

Nitaimba Ningali Hai

Mtunzi: Augustine Rutakolezibwa
> Mfahamu Zaidi Augustine Rutakolezibwa
> Tazama Nyimbo nyingine za Augustine Rutakolezibwa

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: AUGUSTINE RUTAKOLZIBWA

Umepakuliwa mara 870 | Umetazamwa mara 4,207

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO; Tumsifu Bwana Mungu, Bwana mi nitakusifu, nafsi ikusifu
                 Nitakusifu Mungu wangu ( Mungu wangu) muda wote   
                  ninao ishi ( duniani ), nitamwimbia Mungu wangi mimi
                   ningali hai x 2
                   Nitaimba (mimi) nitacheza (nitaimba) nitamwimbia
                 Mungu nikiwabado ni hai, mimi ningali hai x 2

SHAIRI; 1.Huwapa wenye njaa chakula na kufungua wafungwa,
               nitamwimbia Bwana muda ninaoishi.

             2.Huinua walioinama na kupenda wenye haki,
                 nitamwimbia Bwana muda ninaoishi

             3.Huifadhi wageni hutegemeza yatima wajane,
                nitamwimbia Bwana muda ninaoishi


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa