Maneno ya wimbo
                Nitakushukuru kwa kuwa kwa kuwa nimeumbwa x2 1.Ee Bwana umenichunguza na kunijua wewe wajua kuketi kwangu na kuondoka kwangu umelifahamu wazo langu tokea mbali umepepeta kwenda kwangu na kulala kwangu umeelewana na njia zangu 
2.Maana wewe ndiwe uliyeniumba mtima wangu   
uliniunga tumboni kwa mama mama yangu nitakushukuru kwa kuwa nimeumbwa kwa jinsi ya ajabu ya kutisha matendo yako matendo ni ya ajabu
3.Na nafsi yangu unajua sana kifuta yangu haikusitirika kwako nilipoumbwa kwa siri nilipoungwa kwa ustadi pande za chini ya nchi.
            
                                    
                Nyimbo nyingine za mtunzi huyu