Ingia / Jisajili

Siku Hii Ndio Aliyoifanya Bwana

Mtunzi: Robert Nazael .J.
> Mfahamu Zaidi Robert Nazael .J.
> Tazama Nyimbo nyingine za Robert Nazael .J.

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Robert Nazael.J.

Umepakuliwa mara 13 | Umetazamwa mara 13

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
(K) Siku hii ndio aliyoifanya Bwana, tutashangilia na kuifurahia. 1.Aleluya mshukuruni Bwana Kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.(K) 2.Mkono wa kuume wa Bwana umetukuzwa; Mkono wa kuume wa Bwana hutenda makuu sitakufa Bali nitaishi. Nami nitayasimulia matendo ya Bwana(K) 3.Jiwe walilolikataa waashi Limekuwa jiwe kuu la pembeni, Neno hili limetoka Kwa Bwana, Nalo ni ajabu machoni petu. (K)

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa