Ingia / Jisajili

Tukalijenge Kanisa

Mtunzi: Herman C. Makoye
> Tazama Nyimbo nyingine za Herman C. Makoye

Makundi Nyimbo: Sadaka / Matoleo

Umepakiwa na: Herman Makoye

Umepakuliwa mara 5 | Umetazamwa mara 6

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

TUKALIJENGE KANISA

Ndugu waumini, hima, twende kwa moyo wa upendo, tukatoe michango yetu tulijenge Kanisa x2

Ukarimu wa moyo wako ni urithi, urithi wa vizazi na vizazi, mimi na Familia yangu, tutalijenga Kanisa, mimi na Jirani zangu, tutalijenga Kanisa, mimi na marafiki zangu, tutalijenga Kanisa, kwa moyo wenye upendo, tutalijenga Kanisa.

Mabeti

1.  (a) Shika chochote ulichonacho, tukalijenge Kanisa

(b) Beba nondo zege na tofali, tukalijenge Kanisa

(c) Beba mawe sementi mchanga, tukalijenge Kanisa

(d) toa fedha na Mali yoyote, tukalijenge Kanisa

2.  (a) Sisi sote ndugu twaalikwa…..

(b) Usiache nafasi ipite……….

(c) Mungu wetu katupa uhai……….

(d) Nyumba ya Mungu nyumba ya sala………

 


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa