Ingia / Jisajili

Tutawapa Nini Watu Hawa

Mtunzi: Joseph Mgallah
> Mfahamu Zaidi Joseph Mgallah
> Tazama Nyimbo nyingine za Joseph Mgallah

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio | Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Joseph Mgallah

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO

Tutawapa nini watu hawa x2 tazama (hapa ni nyikani nasi hatuna cha kuwalisha, tazama tunayo mikate mitano na samaki wawili, hata hivyo havitoshi kuwashibisha) x2

MASHAIRI

1. A. Yesu akachukua samaki na mikate akavibariki, akawapa wale, tazama wakashiba wote

B. Nao waliokula walikuwa wanaume wapata elfu tano bila kuhesabu wanawake na watoto.

2. A. Nawe uonaye kiu na njaa sogea ulishwe, pia unywenshwe tazama atakushibisha

B. Neno la Mungu pia nia chakula cha uzima kinachotushibisha roho, tupokee tupate kushibishwa.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa