Mtunzi: Guillaume Kibo
                                                        
                                Makundi Nyimbo: Misa | Zaburi
                                    Umepakiwa na: Kam's Swana
                                Umepakuliwa mara 172 | Umetazamwa mara 594
                
Download Nota
                             
                        
                
Maneno ya wimbo
                Kiitikio
Uniponye roho yangu kwani nimekukosea Bwana Mungu
1. Heri mtu amkumbukaye mtu zaifu, Siku ya shida Bwana atamwokowa
2. Bwana atamlinda na kumtunzia uzima, atamjalia kuwa na heri.