Ingia / Jisajili

Unisaidie Hima

Mtunzi: W. A. Chotamasege
> Mfahamu Zaidi W. A. Chotamasege
> Tazama Nyimbo nyingine za W. A. Chotamasege

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Mafundisho / Tafakari | Zaburi

Umepakiwa na: Nivard Silvester

Umepakuliwa mara 603 | Umetazamwa mara 2,373

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ee Bwana Ee Bwana unisaidie hima x2

1. Nalimngoja Bwana kwa saburi, akaniinamia akasikia kilio changu

2. Akanipandisha toka shimo la uharibifu, toka shimo la utelezi

3. Ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu, Ee Mungu wangu usikawie


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa