Ingia / Jisajili

Wa Heri Twaalikwa

Mtunzi: Tairo Polycarp

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Polycarp Tairo

Umepakuliwa mara 5 | Umetazamwa mara 10

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Hiki ni chakula cha mbingu karamu ya Bwana x2

Huu ndio mkate chakula cha malaika, si waheri, twaalikwa, tukale mwili wa Bwana, chaluka cha roho zetu, tushiboshwe kwa pendo lake x2

1. Yesu kwa hiyari yake, pale msalabani, alijitoa sadaa kwa ajili yetu wadhambi, katuachia pendo lililo kuu, kwa kutujalia wokovu.

2. Ekaristia ni chakula bora, chakula cha uzima wa milele yote, tumpokee Yesu ndani yetu, nasi tukae mwake.

3. Nani aliye na pendo kuu kama Yesu, alitoa mwili wake kushibisha roho zetu, tukampokee tuwe na uzima tele, Yesu tunakuabudu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa