Ingia / Jisajili

Leta Mkono Wako

Mtunzi: Poi Tobiasi Mkwalakwala
> Mfahamu Zaidi Poi Tobiasi Mkwalakwala
> Tazama Nyimbo nyingine za Poi Tobiasi Mkwalakwala

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Thobias Poi

Umepakuliwa mara 889 | Umetazamwa mara 2,572

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio

Kiitikio

Leta mkono wako, uutie ubavuni Mwangu *2

Wala usiwe asiye amini bali aaminiye, Aleluya.

Mashairi

1. Kisha Yesu akamwambia Tomaso: "Lete hapa kidole chako;

    uitazame mikono Yangu; ulete na mkono wako uutie ubavuni Mwangu".

2. Tomaso akajibu akamwambia: "Bwana wangu na Mungu wangu", Aleluya.

3. Yesu akamwambia,, kwa kuwa Wewe umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki" Aleluya.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa