Ingia / Jisajili

Nitaondoka

Mtunzi: Emmanuel Sebastian
> Mfahamu Zaidi Emmanuel Sebastian
> Tazama Nyimbo nyingine za Emmanuel Sebastian

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Emmanuel Sebastian

Umepakuliwa mara 556 | Umetazamwa mara 1,290

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

(K) Nitaondoka nitakwenda kwa Baba yangu

1. Ee Mungu unirehemu,  sawasawa na wingi wa fadhili zako
    Kiasi cha wingi wa rehema zako, uyafute makosa yangu/
    Unioshe kabisa na uovu wangu, Na dhambi yangu i mbele yangu daima

2. Ee Mungu uniumbie moyo safi, uifanye upya roho iliyotulia ndani yangu/
    Usinitenge na uso wako, wala roho yako takatifu usiniondolee
  
3. Ee Bwana uifumbue midomo yangu, Na kinywa changu kitazinena sifa zako/
   Dhabihu za Mungu ni roho iliyovunjika,
   Moyo uliyovunjika na kupondeka, Ee Mungu, hautaudharau


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa