Ingia / Jisajili

UTUREHEMU BWANA KWA KUWA TUMETENDA DHAMBI

Mtunzi: Hilali John Sabuhoro
> Mfahamu Zaidi Hilali John Sabuhoro
> Tazama Nyimbo nyingine za Hilali John Sabuhoro

Makundi Nyimbo: Zaburi | Kwaresma

Umepakiwa na: Halisi Ngalama

Umepakuliwa mara 1,446 | Umetazamwa mara 4,505

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Uturehemu Ee Bwana  kwa kuwa  tumetenda dhambi X2

1:Ee Mungu unirehemu sawasawa na fadhili zako kiasi cha wingi wa rehema zako uyafute makosa yangu unioshe kabisa na uovu wangu.

2:Maana nimejua mimi makosa yangu na dhambi yangu I mbele yangu daima nimekutenda dhambi wewe peke yako na kufanya maovu mbele za macho yako.

3:Ee Mungu uniumbie moyo safi uifanye upya roho yangu iliyotulia ndani yangu usinitenge na uso wako wala roho yako mtakatifu.

4:Unirudishie furaha ya wokovu wako unitegemeze kwa roho ya wepesi Ee Bwana uifumbue midomo yangu na kinywa changu kitazinena sifa zako.



Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa