Ingia / Jisajili

Alberto Paschal

Mfahamu Alberto Paschal, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Dar es Salaam Parokia ya Tandale

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 3 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Dar es Salaam

Parokia anayofanya utume: Tandale

Namba ya simu: 0622266033

Soma Historia na maelezo yake hapa

Wasiliana na mtunzi kwa email:


Historia / Maelezo

Naitwa Alberto Paschal nimezaliwa mnamo tar 29-09-1983 Katika Kijiji Cha Buhingu wilaya ya Uvinza mkoa wa Kigoma,Nilivutiwa na tasnia ya muziki Mtakatifu wa kanisa katoliki nikajifunza na Sasa namshukuru Mungu ni Mwalimu Mtunzi na mpiga kinanda (Organist) Ninazo nyimbo nyingi nilizotunga za kumsifu Mungu hivyo Karibuni ktk account yangu tushirikishane baadhi ya nyimbo ktk kumsifu Mungu,Kwa Sasa napatikana Dsm nje ya muziki wa kanisa nashughulika na ujasiriamali-Karibuni Tumwimbie Bwana ktk roho na kweli?????