Ingia / Jisajili

Amini Nawaambia

Mtunzi: Edward Rabi
> Tazama Nyimbo nyingine za Edward Rabi

Makundi Nyimbo: Juma Kuu

Umepakiwa na: Gerald Ndimbo

Umepakuliwa mara 316 | Umetazamwa mara 709

Download Nota
Maneno ya wimbo
(Amini nawaambia)x2 mmoja kati yenu ninayekula pamoja naye, atanisaliti nawaambia. (Je ni mimi Bwana, Je ni mimi, Je ni mimi Bwana, Je ni mimi?)x2 1.Ole wake Yuda aliye msaliti Yesu Kristu mwanawake Baba 2.Aliyetia mkono wake pamoja nami ndiye yule atanisaliti. 3.Ingekua heri kwake yule mtu kama asingelizaliwa.

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa