Mtunzi: Frt. Victor Lyimo
> Mfahamu Zaidi Frt. Victor Lyimo
> Tazama Nyimbo nyingine za Frt. Victor Lyimo
Makundi Nyimbo: Tenzi za Kiswahili
Umepakiwa na: Victor Lyimo
Umepakuliwa mara 2 | Umetazamwa mara 0
Download NotaATUKUZWE MUNGU WETU POTE DAIMA.
Atukuzwe Mungu wetu pote daima.
1. Tukuzeni Mu-ngu, enyi viumbe, vya dunia na mbinguni; litukuzeni jina la-ke:
2. Mtukuzeni Ye-su, Mu-ngu, mkombozi wetu mwenye huruma; ashangiliwe hapa petu:
3. Tukuzeni Da-mu, ya- Yesu, bora sana kwa binadamu; tumpe shukrani kwa mamaye:
4. Tukuzeni mwi-li, wa-a Yesu, Sakramenti yake tukufu; tumpe heshima altareni:
5. Msifuni ma-ma, wa-a Yesu, Kristu mama wa Mungu wetu; yeye ni mama na bikira:
6. Msifuni mli-shi, wa-a Yesu, msimamizi wetu Yosefu; washangiliwe pasi mwisho