Ingia / Jisajili

Bwana Ameufunua Wokovu

Mtunzi: C. Mzena
> Tazama Nyimbo nyingine za C. Mzena

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 1,556 | Umetazamwa mara 4,583

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bwana Ameufunua wokovu wake machoni pamataifa amedhihirisha haki yake x2;

Mashairi.

1 (a)  Mwimbieni Bwana wimbo mpya,kwa maana ametenda mambo ya ajabu

    (b) Mkono wa kuume wake Bwana mkono wake umemtendea ya wokovu

2  (a) Ameukumbuka wema wake na uaminifu kwa nyumba ya Israeli

     (b) Miisho yote ya ulimwengu imeuona wokovu wa Mungu wetu

3  (a) Mshangilieni Bwana Mungu furahini enyi nchi zote za dunia

     (b) Mwimbieni Bwana kwa kinubi tarumbeta pia mvumo wa baragumu


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa