Ingia / Jisajili

Bwana Atubariki

Mtunzi: Yudathadei Chitopela
> Mfahamu Zaidi Yudathadei Chitopela
> Tazama Nyimbo nyingine za Yudathadei Chitopela

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Yudathadei Chitopela

Umepakuliwa mara 826 | Umetazamwa mara 3,017

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

BWANA ATUBARIKI SIKU ZOTE,

BWANA ATUBARIKI SIKU ZOTE X2

BWANA ATUBARIKI SIKU ZOTE, BWANA ATUBARIKI SIKU ZOTE ZA MAISHA YETU, ATUBARIKI SIKU ZOTE ZA MAISHA YETU.

1.         (A)HERI KILA MTU, AMCHAYE BWANA,

      AENDAYE KATIKA NJIA YAKE,

(B)TA’BU YA MIKONO YAKO, HAKIKA UTAILA,

      UTAKUWA HERI NA KWAKO KWEMA.

 

2.         (A)MKEO ATAKUWA, KAMA MZABIBU,

      UZAAO VYUMBANI MWA NYUMA YAKO,

(B)WANAO KAMA MICHE, YA MIZEITUNI,                                                                                                        

     WAKIIZUNGUKA MEZA YAKO.

 

3.         (A)TA-ZAMA ATABARIKIWA HIVYO,

      YULE AMCHAYE AMCHAYE BWANA,

(B)BWANA AKUBARIKI, TOKA SAYUNI,

       UONEUHERI WA YERUSALEMU.

 

4.         (A)SIKU ZOTE, SIKU ZOTE,

      ZA MAISHA YAKO ZA MAISHA YAKO,

(B)NAAM UKAWAONE, WANA WA WANAO,

     AMANI IKAE NA ISRAELI.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa