Ingia / Jisajili

Bwana Nakushukuru

Mtunzi: G. A. Chavallah
> Tazama Nyimbo nyingine za G. A. Chavallah

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Emmanuel Valeri

Umepakuliwa mara 4,238 | Umetazamwa mara 5,921

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

1. a)Bwana nakushukuru Asante, Bwana nakushukuru Asante.

b)Pendo lako kwangu kubwa sana, Pendo lako kwangu kubwa sana.(K)

Kiitikio: Umenilisha mwili wako na damu yako (Bwana) ili nipate uzima wa milele (ewe) Bwana nakushukuru Asante. Nitakulipa nini mimi mwokozi wangu (Yesu) kwa mema yote ambayo wanijalia (ewe) Bwana nakushukuru Asante.

2. a)Bwana nakushukuru Asante.Bwana nakushukuru Asante.

b) Kwani umenilisha mwilio, Kwani umenilisha mwilio.(K)

3. a)Bwana nakushukuru Asante. Bwana nakushukuru Asante.

b) Kwani umeninywesha damuyo, Kwani umeninywesha damuyo. (K)




Maoni - Toa Maoni

Jean de Dieu kalaka Oct 30, 2023
Hongera kwa matunzi wa mwimbo ! Naufuraiya kabisa! Inanipasa kuifundisha kwaya langu hapa Congo Lubumbashi

Toa Maoni yako hapa