Ingia / Jisajili

Bwana Ndiye Fungu La Posho Langu

Mtunzi: Seraphin T.m.kimario
> Tazama Nyimbo nyingine za Seraphin T.m.kimario

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Joseph Rumanyika

Umepakuliwa mara 388 | Umetazamwa mara 1,643

Download Nota
Maneno ya wimbo
  • KIITIKIO
  • Bwana ndiye fungu la posho langu x2
  • na la kikombe changu mimi, wewe unaishika kura yangu x2

  • MAIMBILIZI
      • 1. Mungu unihifadhi mimi kwa maana nakukimbilia wewe,nimemwambia bwana ndiwe Bwana wangu 
    •     Bwana diye fungu la posho langu na kikombe changu

  • 2. Nitamhimidi Bwana aliyenipa shauri, naam mtima wangu umenifundisha usiku, nimemweka Bwana
  •     mbele yangu daima kwa kuwa yuko kuumeni kwangu sitaondoshwa.

  • 3. Kwa hiyo moyo wangu unafurahi, na utukufu wangu unashagilia
  •      Naam mwili wangu nao utakaa kwa kutumaini, maana hutakuachia kuzimu nafsi yangu
  •      Wala hutamtoa mtakatifu wako aone uharibifu

  • 4. Utanijulisha njia ya uzima, mbele za uso wako ziko furaha tele.
  •     na katika mkono wako wa kuume mna mema ya milele

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa