Ingia / Jisajili

Bwana Unajibu

Mtunzi: Kithome Francis
> Mfahamu Zaidi Kithome Francis
> Tazama Nyimbo nyingine za Kithome Francis

Makundi Nyimbo: Shukrani

Umepakiwa na: kithome Francis

Umepakuliwa mara 175 | Umetazamwa mara 477

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
Utangulizi. Nikaona mkono wa Bwana ukiniinua toka chini baada ya maisha kuwa kama kipofu kupojaa hukunitelekeza hukaniangazia nione njia chorus Nilipokuita Bwana uliitika tazama baraka zako zinatiririika (hakika) unajibu maombi(unajibu sala zetu) kilatuombapo (kila saa tuombapo) Mungu mwaminifu(Mungu kwetu ni mwaminifu) kimbilio letu(kimbilio daima) tumaini jema x2 stanzas 1.Nilipoanguka chini kwa kukosa imani moyo ulitebwereka nikakutamani Mungu wa majeshi nawe ukaniangaikia 2.Magonjwa hatari yaliponisomba na mwili wangu ukawa dhaifu nikaita Mungu naye kwa rehema zake akanipa uponyaji 3.Shida za dunia zilipotikisa miamba mambo yakatetereka ukanipatumaini ili nirejee kwenye msingi wako

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa