Ingia / Jisajili

Chakula Kinacho Wafaa

Mtunzi: Alphonce Andrew Otieno Obonyo
> Mfahamu Zaidi Alphonce Andrew Otieno Obonyo
> Tazama Nyimbo nyingine za Alphonce Andrew Otieno Obonyo

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Alphonce Andrew Otieno Obonyo

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
CHAKULA KINACHO WAFAA

Njoni enyi nyote mlio na njaa, Kuna chakula kinachowafaa,
Njoni nyote karamu ya Bwana.x2
Soprano na Alto:
Njoni mle mwili, ni chakula bora, njoni mnywe damu, mwili wake ni chakula, damu yake ni kinywaji, inueni mioyo, Bwana anatualika!
Tenor na Bass:
Njoni mle mwili wake ni chakula, njoni mnywe damu, mwili wake ni chakula kinachowafaa, damu yake ni kinywaji, inueni mioyo, Bwana anatualika!

1.Mkate niliyowapa,ni mwili wangu mimi;
Aulaye mwili wangu,aishi milele.

2. Kikombe cha Agano,,Ni damu ya wokovu;
Jooni kwangu mlio na kiu,Ikatike.

3.Akaye ndani yangu,,nami nakaa ndani yake;
ni chakula cha uzima,Chakula cha roho.  

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa