Ingia / Jisajili

Chakula Kinacho Wafaa

Mtunzi: Alphonce Andrew Otieno Obonyo
> Mfahamu Zaidi Alphonce Andrew Otieno Obonyo
> Tazama Nyimbo nyingine za Alphonce Andrew Otieno Obonyo

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Alphonce Andrew Otieno Obonyo

Umepakuliwa mara 4 | Umetazamwa mara 15

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
CHAKULA KINACHO WAFAA

Njoni enyi nyote mlio na njaa, Kuna chakula kinacho wafaa,
Njoni nyote karamu ya Bwana.x2
Njoni mle mwili, ni chakula bora, njoni mnywe damu, mwili wake ni chakula, kinacho wafaa, damu yake ni kinywaji, inueni mioyo, Bwana anatualika!

1.Mkate niliyowapa,ni mwili wangu mimi;
Aulaye mwili wangu,aishi milele.

2. Kikombe cha Agano,,Ni damu ya wokovu;
Jooni kwangu mlio na kiu,Ikatike.

3.Akaye ndani yangu,,nami nakaa ndani yake;
ni chakula cha uzima,Chakula cha roho.  

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa