Ingia / Jisajili

Ee BWANA NIAMKAPO

Mtunzi: Essau Lupembe
> Mfahamu Zaidi Essau Lupembe
> Tazama Nyimbo nyingine za Essau Lupembe

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: ESSAU LUPEMBE

Umepakuliwa mara 727 | Umetazamwa mara 2,389

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 32 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

                                                                                            Ee BWANA NIAMKAPO

Ee Bwana niamkapo unishibishe kwa sura yako, unishibishe kwa sura yako, unishibishe kwa sura yako  ...X2

1. Ee usikie haki usikilize kilio changu , utegee sikio lako kwa maombi yangu.

2. Yasiyotoka katika katka midomo ya hila yasiyotoka katika midomo ya hila.

3. Nyayo zangu zimeshikamana na njia zako hatua zangu hazita ondoshwa.

4. Ee Mungu nimekuita kwa maana utaitika utegee sikio lako usikie neno langu.

5. Usinifiche chini ya uvuli wa mbawa zako bali Mimi nikutazame uso wako katika haki


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa