Ingia / Jisajili

Ee Bwana Unisaidie Hima

Mtunzi: Nivard S Mwageni
> Mfahamu Zaidi Nivard S Mwageni
> Tazama Nyimbo nyingine za Nivard S Mwageni

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Zaburi

Umepakiwa na: Nivard Silvester

Umepakuliwa mara 415 | Umetazamwa mara 1,592

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO

Ee bwana (Ee Bwana) unisaidie himax2

Maimbilizi

1. Nalimngoja Bwana kwa saburi, akaniinamia akakisikia kilio changu.

2. Akanipandisha toka shimo la uharibifu, toka udongo wa utelezi, akaisimamisha miguu yangu mwambani, akaziimarisha hatua zangu

3. Akatia wimbo wimbo mpya kinywani mwangu, ndio sifa zake Mungu wetu, wengi wataona wataona na kuogopa nao watamtumaini Bwana.

4. Nami maskini maskini na mhitaji, Bwana Bwana atanitunza, ndiwe msaada wangu na wokovu wangu, Ee Mungu Mungu usikawie.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa