Ingia / Jisajili

Ee Mungu Mfalme wangu

Mtunzi: Daniel Denis
> Mfahamu Zaidi Daniel Denis
> Tazama Nyimbo nyingine za Daniel Denis

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Daniel Denis

Umepakuliwa mara 513 | Umetazamwa mara 1,615

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio: Ee Mungu Mfalme wangu, nitalitukuza, nitalitukuza jina lako milele.

Mashairi: 1. Ee Mungu wangu Mfalme,nitakutukuza, nitalihimidi jina lako milele, milele na milele

                     kila siku nitakuhimidi, nitalisifu jina lako milele na milele.

                  2. Bwana anafadhili ni mwingi wa huruma, si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema,

                       ni mwingi wa rehema, Bwana ni mwema kwa watu wote, na rehema zi juu ya viumbe

                        vyake vyote.

                  3. Ee Bwana viumbe vyako, vyote vitakushukuru, na wacha Mungu wako, watakuhimidi,

                      watakuhimidi, waunena utukufu wa ufalme wako, na kuuhadidhia  uweza wako.

                  4. Ufalme wako, ni ufalme wa zamani zote, na mamlaka yako yote niya vizazi vyote

                      huwainua wote walioinamia chini.       


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa