Ingia / Jisajili

Ee Mungu Nimekuita Kwamaana Utaitika

Mtunzi: Lisley J Kimbwi
> Mfahamu Zaidi Lisley J Kimbwi
> Tazama Nyimbo nyingine za Lisley J Kimbwi

Makundi Nyimbo: Mwanzo

Umepakiwa na: Lisley Kimbwi

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 29 Mwaka A

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO

[Ee Mungu nimekuita kwa maana utaitika] utege sikio lako ulisikie neno langu x2  unilinde kama mboni ya jicho uniweke chini ya uvuli wa mbawa zako x2

MASHAIRI

  1. 1.Nyayo zangu zimeshikamana na njia zako, hatua zangu zote hazitaondoshwa

2. Haki yako na ukuu wako e Bwana Mungu, viambatane nami milele amina


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa