Ingia / Jisajili

Kila Kipaji Chema (Ni Vya Mungu)

Mtunzi: Alvin Marie
> Mfahamu Zaidi Alvin Marie
> Tazama Nyimbo nyingine za Alvin Marie

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Sadaka / Matoleo

Umepakiwa na: Alvin Marie

Umepakuliwa mara 1 | Umetazamwa mara 0

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kila kipaji kilicho chema, na zawadi kamili, vyote hutoka juu mbinguni kwa Baba wa mianga x2 Basi ni nani aijuaye nia ya Mungu? Au ni nani aliyekuwa mshauri wake? Tena ni nani aliyempa yeye kitu kwanza, ili akalipwe tena? Vitu vyote vyatoka kwake, navyo vipo kwa uweza wake; tena vyote vinarejea kwake.

1. Tusidanganyike na kufikiri kuwa ni mali zetu, kwa kuwa vyote ni vya Mungu.

2. Dunia na vyote viijazavyo ni mali ya Mungu, hakika vyote ni vya Mungu.

3. Kwa sura na kwa mfano wa Mungu tazama tumeumbwa, na sisi pia ni wa Mungu


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa