Ingia / Jisajili

Macho Yangu Humwelekea Bwana

Mtunzi: Benezeth T. Mpupe
> Mfahamu Zaidi Benezeth T. Mpupe
> Tazama Nyimbo nyingine za Benezeth T. Mpupe

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Zaburi

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 1,545 | Umetazamwa mara 4,931

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Macho yangu humwelekea Bwana daima naye atanitoa miguu yangu katika wavu, Bwana ( Uniangalie nakunifadhili maana mimi ni mkiwa na mteswa) 2.

Mashairi:

1(a)  Katika shida za moyo wangu Bwana, unifanyie nafasi.

1(b) Utazame teso langu Bwana unisamehe, dhambi zangu.

2 (a) Uwasamehe adui zangu Bwana, wanichukiao kwa ukatili.

2 (b) Unilinde nafsi yangu Bwana nisiaibike milele


Maoni - Toa Maoni

golden simkonda Mar 18, 2017
safi sana nimependa utunzi wako kaza buti

Toa Maoni yako hapa